Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
hapo sawa umeonge na umeeleweka
Hivi hapa nimeandika nahitaji harusi???? au nahitaji Mume!!!
Hivi hapa nimeandika nahitaji harusi???? au nahitaji Mume!!!
kWANI kwa sasa unaishi wapi?SIFA ZANGU
- miaka 27
-mkristo
-mchaga
-mwalimu
-sina mtoto
-mweusi
-mwembamba
-mrefu
SIFA ZAKE
-anahitaji mke
-mwenye upendo wa dhati
- mkristo
-muajiriwa/amejiajiri
-degree, masters, dr
-umri 30-39
-mrefu
-rangi yoyote
-mkweli
-muaminifu
Kila mtu ana chaguo lake, huyo anayetaka wa kumzalia aje mtaan kwetu tu atapata mzigo wake, ndoa ni kitu cha kuheshimika sio kujaribisha, afu wakristo hawajaribu ndoa, waislam wanatoa talaka wanaoa hadi wa4 ila wakristo ni one mama at a time, respect marriage..wadada wa kuzalisha tu wapo wengi wanapenda kweli kuzaazaaMimi namshukuru mungu mke wangu nilioa kwa elfu 80000, elfu 10000 ya kikao 70000 mahali yake aloitaja mwenyewe mke wangu, baada ya wiki nikafungishwa ndoa yangu usiku msikitini baada ya swala ya saa mbili Morogoro!..mke wangu alikataa kila aina ya mbwembwe alikataa kata kata....kwa Sasa Yuko Nyumbani kwake na maisha yake mashaalah mwaka wa kumi....ananimwagia watoto tu walokuwa wanamcheka kwa sasa wanatafuta hata wakuwatia mimba tu wawatunze ndani hakuna....
Unavaa Brah size gani...??
Akiwa na elimu kukuzidi, lakini akafeli kukukojoza je!?Mi nmeweka kwa sababu nahitaji mume aliyenizid elimu.... Ni moja ya vitu ninavyovipenda.... Msomi
nitakuja kuomba ushaur hapa JFAkiwa na elimu kukuzidi, lakini akafeli kukukojoza je!?
tuwasiliane excellentrainingcentre20@gmail.comSIFA ZANGU
- miaka 27
-mkristo
-mchaga
-mwalimu
-sina mtoto
-mweusi
-mwembamba
-mrefu
SIFA ZAKE
-anahitaji mke
-mwenye upendo wa dhati
- mkristo
-muajiriwa/amejiajiri
-degree, masters, dr
-umri 30-39
-mrefu
-rangi yoyote
-mkweli
-muaminifu
Mhu...SIFA ZANGU
- miaka 27
-mkristo
-mchaga
-mwalimu
-sina mtoto
-mweusi
-mwembamba
-mrefu
SIFA ZAKE
-anahitaji mke
-mwenye upendo wa dhati
- mkristo
-muajiriwa/amejiajiri
-degree, masters, dr
-umri 30-39
-mrefu
-rangi yoyote
-mkweli
-muaminifu
Unalingine?Mhu...
karne hii bhana
"Mtu anachagua Mume
Sifa azingatie zifuatazo.
Awe professor
Awe na kampuni
Asiwe na mtoto
Asiwe na mama
Asiwe na ndugu wa kike
Awe hajawai kuishi na mwanamke
Awe amefaulu somo la science
Ambae hajawai kupata hasara kwenye biashara.
Asiwe na madeni na awe na akiba benk.
Asiwe anakasirika
Akitembea awe mkakamavu
Awe na sauti nene.
Awe na sheli.
Awe na IPhone 6
Pia na simu ndogo
Asiwe anatumatuma sms
Mtoto wa kwanza kwangu anipe wa kiume
Awe na akili kubwa mno.
Awe anatumia maji ya chupa.
Ambae hajawai kutumia maji ya bomba.
Hizo sifa awe nazo zote au awe na moja ya hizo sifa?SIFA ZANGU
- miaka 27
-mkristo
-mchaga
-mwalimu
-sina mtoto
-mweusi
-mwembamba
-mrefu
SIFA ZAKE
-anahitaji mke
-mwenye upendo wa dhati
- mkristo
-muajiriwa/amejiajiri
-degree, masters, dr
-umri 30-39
-mrefu
-rangi yoyote
-mkweli
-muaminifu
Jamiiforums wote ni PhD Holders so yupo sahihi kuweka hizo sifa.Mpaka sasa bado sijajua kwann watu humu kwenye kutafuta wenza wanaweka kipengele cha elimu ya MTU.
Kila la kheri
Awamu ya Tano ni ya wasomisisi standard seven hatuwezi pata wenzi wetu humu
kweli..wasomi wenyewe ndo hao wanakatika miunoAwamu ya Tano ni ya wasomi