nderiananarua
Member
- Apr 8, 2018
- 26
- 24
- Thread starter
- #81
Mmmmh mbona mi nnayoNina kigezo as am Prof.. tatizo wanawake wa kichaga hawana chura kbsaa...
Mmmmh mbona mi nnayoNina kigezo as am Prof.. tatizo wanawake wa kichaga hawana chura kbsaa...
mtoa mada mbona huna sifa ya mwaminifu? veeeeperalafu wataka mwaminifu veeeper
mi nmwaminifu ndio maana nahitaji muaminifuBasi njoo PMHapana mi sio mwanamke njaa
I owe you a drink!Unavaa Brah size gani...??
Kuna sifa ya msingi hujaitaja kwa huyo mwanaume. Hebu cheki again your to do listSIFA ZANGU
- miaka 27
-mkristo
-mchaga
-mwalimu
-sina mtoto
-mweusi
-mwembamba
-mrefu
SIFA ZAKE
-anahitaji mke
-mwenye upendo wa dhati
- mkristo
-muajiriwa/amejiajiri
-degree, masters, dr
-umri 30-39
-mrefu
-rangi yoyote
-mkweli
-muaminifu
Onasasa unavyo haribu lugha ya bepari, afadhali ungeandika kwa Kibantu tu mkuu.Kuna sifa ya msingi hujaitaja kwa huyo mwanaume. Hebu cheki again your to do list

Mume umepata njoo inboxSIFA ZANGU
- miaka 27
-mkristo
-mchaga
-mwalimu
-sina mtoto
-mweusi
-mwembamba
-mrefu
SIFA ZAKE
-anahitaji mke
-mwenye upendo wa dhati
- mkristo
-muajiriwa/amejiajiri
-degree, masters, dr
-umri 30-39
-mrefu
-rangi yoyote
-mkweli
-muaminifu
Hiyo cyo lugha yangu. Ingekuwa vibaya kama ningekosea kiswahili. Ila hiyo na nyingine wala haina madharaOnasasa unavyo haribu lugha ya bepari, afadhali ungeandika kwa Kibantu tu mkuu.
Huku kulazimsha ushuzi, unaweza ukajikuta umejinyea..... tehteehhh

Mi nina kitambi lakiniSIFA ZANGU
- miaka 27
-mkristo
-mchaga
-mwalimu
-sina mtoto
-mweusi
-mwembamba
-mrefu
SIFA ZAKE
-anahitaji mke
-mwenye upendo wa dhati
- mkristo
-muajiriwa/amejiajiri
-degree, masters, dr
-umri 30-39
-mrefu
-rangi yoyote
-mkweli
-muaminifu
mm sijasoma nimeishia form 4. ila nimekuzidi kipato kama inawezekana nipe nambaMi nmeweka kwa sababu nahitaji mume aliyenizid elimu.... Ni moja ya vitu ninavyovipenda.... Msomi
Akikujibu nistue mkuuUnavaa Brah size gani...??
Usiogope mkuuAkikujibu nistue mkuu