Mlima meru
Senior Member
- Dec 30, 2012
- 114
- 20
Wapendwa na mimi najitokeza kujitafutia mwenza kama yupo anaye kidhi vigezo namkaribisha
Awe muislam wa Umri wa kuanzia 35 hadi 45 hivi
Awe na Elimu kuanzia Diploma na Kuendelea na awe ameajiriwa au kujitegemea
Awe hajaoa ila kama ana mtoto mmoja sio tatizo
Awe anajimbua/anajua wajibu wa mume kwenye Familia
Awe na Afya njema na mcha mungu
Mimi nina umri wa kuanza maisha
Nina Elimu ya Chuo Kikuu
Nina kazi- Nimeajiriwa Serikalini
Sijaolewa wala sina mtoto
Ni mcha mungu na nina Afya njema
Ni mwembamba mrefu wa wastani (162cm hivi)
Mengine karibu to chat
Wapendwa na mimi najitokeza kujitafutia mwenza kama yupo anaye kidhi vigezo namkaribisha
Awe muislam wa Umri wa kuanzia 35 hadi 45 hivi
Awe na Elimu kuanzia Diploma na Kuendelea na awe ameajiriwa au kujitegemea
Awe hajaoa ila kama ana mtoto mmoja sio tatizo
Awe anajimbua/anajua wajibu wa mume kwenye Familia
Awe na Afya njema na mcha mungu
Mimi nina umri wa kuanza maisha
Nina Elimu ya Chuo Kikuu
Nina kazi- Nimeajiriwa Serikalini
Sijaolewa wala sina mtoto
Ni mcha mungu na nina Afya njema
Ni mwembamba mrefu wa wastani (162cm hivi)
Mengine karibu to chat
Wapendwa na mimi najitokeza kujitafutia mwenza kama yupo anaye kidhi vigezo namkaribisha
Awe muislam wa Umri wa kuanzia 35 hadi 45 hivi
Awe na Elimu kuanzia Diploma na Kuendelea na awe ameajiriwa au kujitegemea
Awe hajaoa ila kama ana mtoto mmoja sio tatizo
Awe anajimbua/anajua wajibu wa mume kwenye Familia
Awe na Afya njema na mcha mungu
Mimi nina umri wa kuanza maisha
Nina Elimu ya Chuo Kikuu
Nina kazi- Nimeajiriwa Serikalini
Sijaolewa wala sina mtoto
Ni mcha mungu na nina Afya njema
Ni mwembamba mrefu wa wastani (162cm hivi)
Mengine karibu to chat
Umri wako tafadhali.
umri wa kuanza maisha... sijui ndo upi huo!!! ila wadada warefu story zao zinapendeza
Picha siwezi kuweka ila nitamtumia atakaye onesha kukidhi vigezo
Umri wangu ni miaka 31
Nafkiri unaweza kuona sababu cha kuweka umri wa mwenza 35 hadi 45...ili tofauti isiwe kubwa sana
Mimi ni mtu mzima above 50yrs.kama unakidhi vigezo vyote vya kuwa mke wa pili naweza kukufikiria
Wadada warefu tatizo lao. Ni too much selective..Bila kujua kwamba age are numbered
Sio selective, kiukweli mdada mrefu kuwa na kiandunje haipendezi, tatizo kubwa wanaume wafupi wanawabagua wadada wafupi na kujing'ang'aniza ka wadada warefu wakati sio type yao.
Sio selective, kiukweli mdada mrefu kuwa na kiandunje haipendezi, tatizo kubwa wanaume wafupi wanawabagua wadada wafupi na kujing'ang'aniza ka wadada warefu wakati sio type yao.
Kumbe kwenye mapenz kuna typ..kila mtu na typ yake ehh.
Mwisho wa siku ndo.unakuja huku kutafuta mume..maji yakishafika shingoni.
Tatizo la wanawake mna expire date.
mbona kuna couple nying saana zinafanya maisha .na unakuta mwanaume mfupi na mwanamke mrefu. Na watu wana enjoy maisha