mimi ni muislamu na mwajiriwa wa serikali
nina miaka 37 na mtoto mmoja wa kiume
ninahitajimume mwislamu kuanzia miaka
38-50, ninaishi dares salaam
kwa aliyeayari tuwasiliane kwa namba
0719 470666 au 0788 598855
me nina miaka 29 unasemaje?
vigezo na mashart kuzingatiwa
Kila la kheri dada,miaka mingine hii ulikua wapi?(Just kidding)
me nina miaka 29 unasemaje?
Ha ha ha alikuwa anatafuta ryt
Man
Kwanini usiende msikitini, mbona wapo huko'
Aisee kumpata ryt man ni ngum namna hii ha ha ha kumbe wanaume tunaraha
msikitini ngumu kwani hujui hua wanatenganishwa sehem za kuswalia wanakua hawaonani..
kwani humu wanaonana?
mi dada nakushauri usichague dini wanaume wa kiislam ni vigumu kuwapata ,i mean wapo wachache ukilinganisha na wakristo trust me