Asante kwa ushauri, tatizo sasa hapa JF kila mara wadada wanaotoa matangazo ya kutafuta mchumba kigezo cha umri kinakuwa kinakaba, na suala la kuchakachua birth certificate walau kuongeza umri linakuwa gumu. Ndo maana nimemuomba angalau ashushe umri wa amtafutae kidogo.
Kweli basi atakuwa Hanipendi...Sasa kama haonyeshi uelewa?
Kweli basi atakuwa Hanipendi...
Hakufukuzae hakwambii toka
:disapointed:
Mmhh Sasa hapo faida ya nani ?Mpotezee aje kulia baadae wakati umeshadondoka na kudakwa kwingine!
Kweli basi atakuwa Hanipendi...
Hakufukuzae hakwambii toka
:disapointed:
Hata sijui!Labda umuulize yeye!Mmhh Sasa hapo faida ya nani ?
Sababu na mimi takuwa nimekosa ninachokitaka.., na yeye kama hataki sahizi ni nini kitamfanya alie baadae?
Karibu Jamvini Mushijack.. (Naona hii ndio post ya kwanza)
All the Best and am sure utapata Singles humu Jamvini ni wa Kumwaga...
Asante kwa ushauri mzuri... Keren.., Hii ngoja ngoja naweza kukosa bahati..., yaani yote haya bado hajaona tu, after all action speaks louder than words
Nawashukuru wote mliochangia na kunitia moyo maana kweli nahitaji mume na hili swala si la utani kabisa.
Nawashukuru wote mliochangia na kunitia moyo maana kweli nahitaji mume na hili swala si la utani kabisa.
Kila heri!!Nawashukuru wote mliochangia na kunitia moyo maana kweli nahitaji mume na hili swala si la utani kabisa.
Kila heri!!