Nahitaji mume 33-40 age

mushijack

Member
Feb 19, 2011
8
4
Mimi ni msichana tayari 32yrs sijawahi kuolewa na sina mtoto. Ninahitaji mume Mkristo tayari kupima VVU pia awe amesoma angalau kidato cha sita, awe ameajiriwa au amejiajiri mwenyewe. Mimi nina elimu ya Advance diploma na nimeajiriwa na kampuni fulani hapa Dar es salaam. Samahani najua wengi mtaniponda nakadhalika lakini mimi niko serious kabisa nimeshachoka maisha ya upweke na ubusy wa kazi kiasi kwamba hata muda wa kukutana na watu nakosa. Sitakasirika kwa wale watakaoniponda ila kwa wale walioko serious ni tumie message kwenye profile yangu then tutaendelea kuwasiliana. Naomba tafadhali uelewe niko serious sana kuhusu hili swala na siyo kwamba nina tabia mbaya au labda muhuni au mi mwenyewe sina mvuto hapana, nadhani kwa kadri tutakavyozidi kufahamiana utanifahamu na kunielewa vizuri. Niko nasubiri Private message (PM) kwa wale tu walioko serious karibuni.
 
user-online.png
mushijack


Today 10:01 PM
#1
Junior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png



Join Date : 19th February 2011
Posts : 1
Thanks 0Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power : 0

Samahani kwa kwenda ofu topik, hivi ulikumbuka kupitia kule sebuleni kwanza kabla ya kuingia humu chumbani?
 
Karibu Jamvini Mushijack.. (Naona hii ndio post ya kwanza)
All the Best and am sure utapata Singles humu Jamvini ni wa Kumwaga...
 
Dada,
Nakutakia mafanikio.
Mimi si kati ya wale watakaokusema vibaya, maana unachagua njia njema ya kuishi kiuwenza na kufarijiana na mwenzi wako!
Bahati mbaya mimi nishabukiwa, lakini vinginevyo ningekutumia ujumbe ili tuingie kwenye biashara serious!

Seriously ninaamini utapata mtu mwaminifu hapa ndani!
Lakini ukipata utoe feedback, na kwa kuwa umejiunga kwa kuanzisha mada hiyo, huu usiwe mwisho wako wa kuja hapa, hata kama matarajio yako yatakuwa ndivyo sivyo!
Tunakupenda sana!
 
Samahani kwa kwenda ofu topik, hivi ulikumbuka kupitia kule sebuleni kwanza kabla ya kuingia humu chumbani?
Mkuu hii ndio inaonesha kweli yupo serious..., kuliko wale wote ambao wameshatoa mabandiko yao...
Sasa wewe endelea hapa kuuliza maswali wakati wenzako wameshatuma application
Ushauri wangu Konga hicho kibutton cha PM Opportunity Never Knocks Twice...
 
Mkuu hii ndio inaonesha kweli yupo serious..., kuliko wale wote ambao wameshatoa mabandiko yao...
Sasa wewe endelea hapa kuuliza maswali wakati wenzako wameshatuma application
Ushauri wangu Konga hicho kibutton cha PM Opportunity Never Knocks Twice...

Mimi ni msichana tayari 32yrs sijawahi kuolewa na sina mtoto. Ninahitaji mume Mkristo tayari kupima VVU pia awe amesoma angalau kidato cha sita, awe ameajiriwa au amejiajiri mwenyewe. Mimi nina elimu ya Advance diploma na nimeajiriwa na kampuni fulani hapa Dar es salaam. Samahani najua wengi mtaniponda nakadhalika lakini mimi niko serious kabisa nimeshachoka maisha ya upweke na ubusy wa kazi kiasi kwamba hata muda wa kukutana na watu nakosa. Sitakasirika kwa wale watakaoniponda ila kwa wale walioko serious ni tumie message kwenye profile yangu then tutaendelea kuwasiliana. Naomba tafadhali uelewe niko serious sana kuhusu hili swala na siyo kwamba nina tabia mbaya au labda muhuni au mi mwenyewe sina mvuto hapana, nadhani kwa kadri tutakavyozidi kufahamiana utanifahamu na kunielewa vizuri. Niko nasubiri Private message (PM) kwa wale tu walioko serious karibuni.
I can see...This is a serious business!
Naomba wadau tusiingize mizaha kwa suala kama hili!...hope u know worram say!
 
Mimi ni msichana tayari 32yrs sijawahi kuolewa na sina mtoto. Ninahitaji mume Mkristo tayari kupima VVU pia awe amesoma angalau kidato cha sita, awe ameajiriwa au amejiajiri mwenyewe. Mimi nina elimu ya Advance diploma na nimeajiriwa na kampuni fulani hapa Dar es salaam. Samahani najua wengi mtaniponda nakadhalika lakini mimi niko serious kabisa nimeshachoka maisha ya upweke na ubusy wa kazi kiasi kwamba hata muda wa kukutana na watu nakosa. Sitakasirika kwa wale watakaoniponda ila kwa wale walioko serious ni tumie message kwenye profile yangu then tutaendelea kuwasiliana. Naomba tafadhali uelewe niko serious sana kuhusu hili swala na siyo kwamba nina tabia mbaya au labda muhuni au mi mwenyewe sina mvuto hapana, nadhani kwa kadri tutakavyozidi kufahamiana utanifahamu na kunielewa vizuri. Niko nasubiri Private message (PM) kwa wale tu walioko serious karibuni.

Yeye anataka mum-PM tu, hapa sijui kama atachangia tena
 
Mkuu hii ndio inaonesha kweli yupo serious..., kuliko wale wote ambao wameshatoa mabandiko yao...
Sasa wewe endelea hapa kuuliza maswali wakati wenzako wameshatuma application
Ushauri wangu Konga hicho kibutton cha PM Opportunity Never Knocks Twice...
VoR we unahamasisha wenzako tu... mbona we hutumi?
 
Hii mambo ya kutafuta mpenzi humu ndani sasa kama ugonjwa wa kuambukiza. Au ni ishara kwamba kuna tatizo la watu kutongozana live inabidi kupitia humu? Lakini nakutakia heri mama
 
Nahisi kama nime-qualify. Ebu jidescribe angalau kidogo. Mimi napenda upande wa nyuma uwe umekamilika. Sijui kama ndivyo ulivyo?
 
kama tu huhitaji PM za kukuchangamsha na uko serious kweli, then kila la kheri mwanadada:rain:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom