EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,303
Asante kwa ushauri, tatizo sasa hapa JF kila mara wadada wanaotoa matangazo ya kutafuta mchumba kigezo cha umri kinakuwa kinakaba, na suala la kuchakachua birth certificate walau kuongeza umri linakuwa gumu. Ndo maana nimemuomba angalau ashushe umri wa amtafutae kidogo.
Una uhakika hawa ni wanadada?