Nautico
JF-Expert Member
- Jul 28, 2017
- 345
- 804
Habari za wakati huu wana jukwaa
Nahitaji kupata mtu kwa ajili ya kufanya nae biashara joint kwenye shughuli za uchimbaji
Nina uzoefu wa miaka 2 kwa sasa,nikiwa namiliki duara kadhaa,miaro ikiwa na crush(garasha),mashamba yenye uwezo wa kuchimba
Napatikana mkoa wa Mara wilaya ya Bunda
Ninae mhitaji walau awe na mtaji unaoanzia walau 50m aje tufanye kazi ya kuzalisha marudio (vifusi)
Ukiwa na mtaji huo wa 50m uhakika baada ya Mwaka unaweza kupata kuanzia mara 2 na kuendelea
Ukivutiwa tuwasiliane,uje uone kwanza then hatua zingine zinafuata baada ya kujiridhisha
Nipigie 0623086089
Nahitaji kupata mtu kwa ajili ya kufanya nae biashara joint kwenye shughuli za uchimbaji
Nina uzoefu wa miaka 2 kwa sasa,nikiwa namiliki duara kadhaa,miaro ikiwa na crush(garasha),mashamba yenye uwezo wa kuchimba
Napatikana mkoa wa Mara wilaya ya Bunda
Ninae mhitaji walau awe na mtaji unaoanzia walau 50m aje tufanye kazi ya kuzalisha marudio (vifusi)
Ukiwa na mtaji huo wa 50m uhakika baada ya Mwaka unaweza kupata kuanzia mara 2 na kuendelea
Ukivutiwa tuwasiliane,uje uone kwanza then hatua zingine zinafuata baada ya kujiridhisha
Nipigie 0623086089