Nahitaji mtu anayeuza smartphone

Nahitaji mtu anayeuza smartphone

Ukishindwa hio lipia itel vision 1550 kwa bei yako ya 150k
 
JF buana. Mtu anasema anauza simu Mpya! Na kila kitu na box lake. Halafu ukiuliza anasema imetumika mwezi mmoja.
 
Members humu wanahitaji seminar wafundishwe maana ya MPYA na USED na USED BUT IN GOOD CONDITION
Mpya maana yake ni ambayo Tangu inunuliwe haijawahi tumika mkuu....
NI kweli unachosema kuwa unalo post advert yako elezea uhalisia ya ukiuzacho

Ova
 
Ipo samsung j7 ina 4g very good condition ipo mwanza call 0713774746
 
Lete 250k nikupe lg prada line moja made in korea
 
Nina tecno w5 lite mpya kabisa nataka mia mbili na elfu kumi
Kama unauhitaji nichek kwa no. 0675636863
 
Tatizo sisi kwa wezetu mpya yaan bei yake haikamatiki na used ina maana ni mtumba lakn uko kwenye ali nzur au ilio tumika na ipo kwenye hali nzuri karibia na mpya
 
Back
Top Bottom