Nahitaji mtu anayeuza smartphone

Nahitaji mtu anayeuza smartphone

dd24a783e5d2d161d029440580011500.jpg
200 ipo
 

Attachments

  • IMG-20170301-WA0012.jpg
    IMG-20170301-WA0012.jpg
    37.9 KB · Views: 49
  • IMG-20170301-WA0011.jpg
    IMG-20170301-WA0011.jpg
    53.1 KB · Views: 52
Nauza friji aina ya bos bado mpya silva ya kung'aa bei laki 450 maelewano yapo
IMG_20170306_170704_17.jpg
0a2e9fa33e28fef1c6b548443a6e268c.jpg
IMG_20170306_170640_3.jpg
 
Ipo galaxy S7 used like brand new..yani ukiiona utasema mpya! 900k tu.
Original, ina 2yrs warranty kutoka Samsung.
 
Ongeza hela nikupatie Inifinix note3 Simu yenye uwezo mkubwa wa kukaa na chaji, cha ziada zaidi hii simu ina screen recod, mfano: unaweza angalia video huku inakodi, badala ya kutumia kifushi kuidowmrd upya unaweza ingia program yeyote huku unarikodi.
 
Ongeza hela nikupatie Inifinix note3 Simu yenye uwezo mkubwa wa kukaa na chaji, cha ziada zaidi hii simu ina screen recod, mfano: unaweza angalia video huku inakodi, badala ya kutumia kifushi kuidowmrd upya unaweza ingia program yeyote huku unarikodi.
Mkuu ungesema kabisa bei kwani wahitaji tupo wengi.
 
Nina techno f7( phatom a+) nauza kwa tshs 230000/= nipo arusha mjini ila kioo kina cracks lakini touch ipo vema tuu.
 
Back
Top Bottom