Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,415
- 12,622
Ipost tuione!
Haipostiki
Ipost tuione!
200 ipo
Hiyo nauza 380,000 Samsung s5sWakuu
Nina shida na smartphone kali isiwe Tecno
Dau langu 150000/=
Ulinunua jipya ama used?Nauza friji aina ya bos bado mpya silva ya kung'aa bei laki 450 maelewano yapoView attachment 479255View attachment 479256![]()
Chukua 300k..fasta.Nauza friji aina ya bos bado mpya silva ya kung'aa bei laki 450 maelewano yapoView attachment 479255View attachment 479256![]()
Nilinunua jipyaUlinunua jipya ama used?
kwa usawa huu debe 25000 lazima simu ziuzwe tu.me pia na tecno p5 nauza 90000Wakuu
Nina shida na smartphone kali isiwe Tecno
Dau langu 150000/=
Mkuu ungesema kabisa bei kwani wahitaji tupo wengi.Ongeza hela nikupatie Inifinix note3 Simu yenye uwezo mkubwa wa kukaa na chaji, cha ziada zaidi hii simu ina screen recod, mfano: unaweza angalia video huku inakodi, badala ya kutumia kifushi kuidowmrd upya unaweza ingia program yeyote huku unarikodi.
Samsung j1Wakuu
Nina shida na smartphone kali isiwe Tecno
Dau langu 150000/=