Ipost tuione!
200 ipo
Hiyo nauza 380,000 Samsung s5sWakuu
Nina shida na smartphone kali isiwe Tecno
Dau langu 150000/=
Ulinunua jipya ama used?Nauza friji aina ya bos bado mpya silva ya kung'aa bei laki 450 maelewano yapoView attachment 479255View attachment 479256
Chukua 300k..fasta.Nauza friji aina ya bos bado mpya silva ya kung'aa bei laki 450 maelewano yapoView attachment 479255View attachment 479256
Nilinunua jipyaUlinunua jipya ama used?
kwa usawa huu debe 25000 lazima simu ziuzwe tu.me pia na tecno p5 nauza 90000Wakuu
Nina shida na smartphone kali isiwe Tecno
Dau langu 150000/=
Mkuu ungesema kabisa bei kwani wahitaji tupo wengi.Ongeza hela nikupatie Inifinix note3 Simu yenye uwezo mkubwa wa kukaa na chaji, cha ziada zaidi hii simu ina screen recod, mfano: unaweza angalia video huku inakodi, badala ya kutumia kifushi kuidowmrd upya unaweza ingia program yeyote huku unarikodi.
Samsung j1Wakuu
Nina shida na smartphone kali isiwe Tecno
Dau langu 150000/=