Mboga gani hiii juu mnoExcel naweza kukupiga,ila niandalae 200,000/= ya mboga
Maini
Naomba hizo files kakaMkuu hiyo excel ni easy komaa nayo tu mwenyewe utatoboa,nina pdf files 3 za excel ukihitaji material niko tayari kukusaidia, ziko na illustrations za kila hatua.
Nitumie mzeeMkuu hiyo excel ni easy komaa nayo tu mwenyewe utatoboa,nina pdf files 3 za excel ukihitaji material niko tayari kukusaidia, ziko na illustrations za kila hatua.
Naomba unitumie pm nataka sana kuwa mtabe wa excelMkuu hiyo excel ni easy komaa nayo tu mwenyewe utatoboa,nina pdf files 3 za excel ukihitaji material niko tayari kukusaidia, ziko na illustrations za kila hatua.
poaa nazituma hapa ,kila mtu aitakaye aipateNaomba unitumie pm nataka sana kuwa mtabe wa excel
Basic zote nazijua
ne
doneNaomba hizo files kaka
Shukran mkuuFlow with them
Shukrani mkuuFlow with them
Pamoja sanaFlow with them