Mgodi uko wapi?Unsataka mwekezaji mwenye capital ya aina gani na kiasi gani?
Docs elekezi zipo?Nina miliki mgodi wa ruby uliosajiliwa ni mgodi wenye Hector 10 na mawe yake ni ya huakika ila kwa sasa nimekwama kiuendeshaji. natafuta mtu anaeweza kuingia mkataba na mm tukafanya kazi kwa kugawana Shea katka faida. Dalali haitajiki
Docs elekezi zipo?
Mean pamepimwa?docs za umiliki?
Una PML au PL? na partners wa huo mgodi mpo wangapi? mwamba umeshaonekana au ni kuanza kuutafuta upya mwamba? au mgodi ni surface area?pamepimwa na pana hati ya umiliki. doc zte zipo
Ruby ya huko iko kama ya winza, mpwa wa au Naku pm # yangu nipigie unitafute ila ningependa kuona sample za ruby hizoMgodi upo kibaigwa rugine mkoa wa DODOMA. capital ni M20 itatuwezesha kukodi mashine na kufanya uchimbaji kuwa rahisi kabisa
Una PML au PL? na partners wa huo mgodi mpo wangapi? mwamba umeshaonekana au ni kuanza kuutafuta upya mwamba? au mgodi ni surface area?
Ruby ya huko iko kama ya winza, mpwa wa au Naku pm # yangu nipigie unitafute ila ningependa kuona sample za ruby hizo
Kwahiyo capital unayosema ni kwa ajili ya kugharamia kambi na vifaa au unataka kupeleka scaveta? umeulizia gharama za kumpeleka geologist mgodini anataka how much?ni PML na partners tupo wawili. pia ni mgodi wenye historia ya kutoa mawe mazur kama ya Winza na mikanda inaonekana. pia mgodi upande uko surface na upande uko underground ila lengo ni kuufanya upande wa underground uwe opencast maana hta juu yke ni mali tupu
Kwahiyo capital unayosema ni kwa ajili ya kugharamia kambi na vifaa au unataka kupeleka scaveta? umeulizia gharama za kumpeleka geologist mgodini anataka how much?
lengo ni kupeleka scaveta na kuifanya kazi ndani ya cku 15 pia Nna team ya watu wazoefu sana naomba tuwasiliane kwa maelezo zaidi 0785946237