Nahitaji Mshauri wa Ujenzi wa Bwawa la Samaki

Nahitaji Mshauri wa Ujenzi wa Bwawa la Samaki

Mzalendowetu

Member
Joined
May 22, 2012
Posts
87
Reaction score
36
Habari wana JF,
Nina mpango wa kufuga samaki kwa matumizi binafsi (chakula nyumbani). Samaki hao ninataka kuwafuga katika eneo ninaloishi. Hivyo, ninaomba yeyote anayefahamu mtu anayeweza kuwa mshauri mzuri wa ujenzi wa bwawa la samaki, naomba aniunganishe naye
 
Kuna jamaa yangu yuko na hayo mambo ukitaka ni PM
 
Back
Top Bottom