PierreLiquid
JF-Expert Member
- Oct 16, 2019
- 596
- 2,310
Kaka nimekushukuru kwa msaada wako ,sana tena sana ,na mungu aendelee kukubariki ,na namba yako nimeisave kuna siku shukrani yangu utaipataOkay, mbona sasa haukuja ili nikupeleke kwenye hiyo kazi?
Aisee hawa ndio wanasabishia wengine wakiomba msaada wasiaminiwe humuDogo mzinguaji, nimemtafutia kibarua na nikamtafutia pakulala kwa mwezi mmoja.
Dogo kaingia mitini, na sina hakika hata kama kweli yupo Dodoma.
Pengine yawezekana anatupanga ili tumuonee huruma na kisha atuNyete
Ehee embu funguka huyu arawa naona anataka kukuharibia hukuAisee ,shukrani kwa msaada wako
,hakuna mahali nimekuomba pesa hata ulipotaka kunitumia nauli nimekukataza ila nikadai nikipata kazi itafaa zaidi ,
Nafsi iligoma?Kaka nimekushukuru kwa msaada wako ,sana tena sana ,na mungu aendelee kukubariki ,na namba yako nimeisave kuna siku shukrani yangu utaipata
Ahsante ,hata kama huamini siku ukiwa dodoma tunaweza kuonana uzuri mawasiliano ninayo (sijajua nini ila tu nafsi iligoma kabisa nilikuwa sina sababu nyingine zaidi ya hio)
You are not serious.Kaka nimekushukuru kwa msaada wako ,sana tena sana ,na mungu aendelee kukubariki ,na namba yako nimeisave kuna siku shukrani yangu utaipata
Ahsante ,hata kama huamini siku ukiwa dodoma tunaweza kuonana uzuri mawasiliano ninayo (sijajua nini ila tu nafsi iligoma kabisa nilikuwa sina sababu nyingine zaidi ya hio)
Sawa, wakati mwingine nivizuri pia ukaisikiliza nafsi piaKaka nimekushukuru kwa msaada wako ,sana tena sana ,na mungu aendelee kukubariki ,na namba yako nimeisave kuna siku shukrani yangu utaipata
Ahsante ,hata kama huamini siku ukiwa dodoma tunaweza kuonana uzuri mawasiliano ninayo (sijajua nini ila tu nafsi iligoma kabisa nilikuwa sina sababu nyingine zaidi ya hio)
Mkuu, binafsi sina nia ya kumharibia kijana. Labda ebu aje aseme yeye mwenyewe nini tulicho kizungumza.Ehee embu funguka huyu arawa naona anataka kukuharibia huku
Kijana akikujibu naomba unitag mkuu, maana naona sasa msaada unanigeuka na kuwa kashfa.Nafsi iligoma?
Aisee tatizo unalo.. .yaani unaisikiliza nafsi kwanza...
Hiyo nafsi inataka uendelee kuwa dhalili hivyo?
Au kuna kitu uligundua kwenye ofa ya ushimen?
Sema kweli utasaidiwa na wengine!
Nadhani huyu kijana anahitaji maombi, baada ya kupitia nyuzi zake nimejikuta ninamsikitikia sana kwa aina ya maisha aliyo yachaguwaYou are not serious.
Hii dunia...Nadhani huyu kijana anahitaji maombi, baada ya kupitia nyuzi zake nimejikuta ninamsikitikia sana kwa aina ya maisha aliyo yachaguwa