Nahitaji mshauri/ushauri

Ahsante sana mkuu...
 
Dogo mzinguaji, nimemtafutia kibarua na nikamtafutia pakulala kwa mwezi mmoja.
Dogo kaingia mitini, na sina hakika hata kama kweli yupo Dodoma.
Pengine yawezekana anatupanga ili tumuonee huruma na kisha atuNyete
Ya kweli haya? mimi pia baada ya kusoma hapa nilipanga nimtafute sasa km analeta ianja janja inakuwaje!
 
Dogo mzinguaji, nimemtafutia kibarua na nikamtafutia pakulala kwa mwezi mmoja.
Dogo kaingia mitini, na sina hakika hata kama kweli yupo Dodoma.
Pengine yawezekana anatupanga ili tumuonee huruma na kisha atuNyete
Aisee ,shukrani kwa msaada wako
,hakuna mahali nimekuomba pesa hata ulipotaka kunitumia nauli nimekukataza ila nikadai nikipata kazi itafaa zaidi ,
 
Aisee ,shukrani kwa msaada wako
,hakuna mahali nimekuomba pesa hata ulipotaka kunitumia nauli nimekukataza ila nikadai nikipata kazi itafaa zaidi ,
Kijana, unazingua sitaki niseme mengi wewe utakuwa na matatizo yako mengine
 
Reactions: amu
Km kuna anaeleta mzaha na shida yako Allah hulipa hapahapa!
Mkuu, swala la huyu kijana nili lifanyia kazi. Lakini ebu aseme hapa kama alifanya kile tulicho kubaliana?
Na nilimuuliza kama anataka anataka nauli ama anataka kazi na pakuishi?
Jibulake lilikuwa kazi na pakuishi, lakini baada ya hapo kilichofuata ni kunikasirisha tu.
 
Na bando anakuwekea nani?
 
Usiseme hvyo hta kidg!utakuja shushwa na ww!
Hapana sijaongea kwa mabaya ni vile tu mtu alivyoandika na nmejaribu kuvuta taswira ya kulala stendi na huko kwingine nmefananisha na wale waliopp hapa mjini dsm kuna wenye makwao ila anakubali ateseke mradi tu aonekane anaishi dsm
 
Aisee ,shukrani kwa msaada wako
,hakuna mahali nimekuomba pesa hata ulipotaka kunitumia nauli nimekukataza ila nikadai nikipata kazi itafaa zaidi ,
Okay, mbona sasa haukuja ili nikupeleke kwenye hiyo kazi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…