Habari za majukumu wapendwa,
Nianze kwa kuomba radhi kwa baadhi ya watu kama nitakuwa nimewakosea kwa hiki nitakachoandika japo mimi naandika kutokana na yale nayopitia hivyo kama utanielewa nipo katika hali gani ushauri wako wa mawazo ni muhimu sana.
Kwa ufupi hapa nilipo kila jambo naloligusa kwa mikono yangu linafeli,kila biashara nayoanzisha inaanguka ,kila pesa nayoshika haifanyi chochote
Kwa sasa nipo dodoma nikiwa katika hali ileile ya kuzungukazunguka maana kwa sasa sina nyumba wala chumba nalala popote hasa kwenye vituo vya treni,nikipata hela mara mojamoja nalala guest,na mara nyingine nalala stendi za daladala
Yaani sina kambi maalumu na sina nyumbani wala ndugu kusema utakimbilia huko ukajishikiza huku ukiendelea kutafakali jinsi gani ufanye,
In short nipo katika mtihani ,ni rahisi kusoma haya nayoandika na kufikiria katika hali ya kawaida lakini hali yangu kisaikolojia haiko vizuri kabisa yaani rohoni naumia mno ila sina namna ya kufanya
Ushauri wako au mtu mwenye uwezo wa kunisaidia kibarua chochote chenye kambi utakuwa umenisaidia sana
Elimu yangu :ualimu (msingi) ngazi ya cheti hivyo kama kuna shule watahitaji mwalimu nipo tayari na niko vizuri
Umri : 25yrs
Jinsia :male
Kazi zingine kama zitapatikana nazoweza kufanya ni:
-kibarua cha kusaidia mafundi (hapa nimetafuta sana lakini napata za kusaidia za siku moja kesho hupati tena )hivyo nikipata ambayo ni endelevu hata mwezi itafaa zaidi
-na kazi nyingine yoyote ile naweza fanya
-
Kama utaweza kunisaidia kazi yoyote hapo juu nitashukuru zaidi
Ahsante
Pia ushauri wako unaweza niokoa
Nianze kwa kuomba radhi kwa baadhi ya watu kama nitakuwa nimewakosea kwa hiki nitakachoandika japo mimi naandika kutokana na yale nayopitia hivyo kama utanielewa nipo katika hali gani ushauri wako wa mawazo ni muhimu sana.
Kwa ufupi hapa nilipo kila jambo naloligusa kwa mikono yangu linafeli,kila biashara nayoanzisha inaanguka ,kila pesa nayoshika haifanyi chochote
Kwa sasa nipo dodoma nikiwa katika hali ileile ya kuzungukazunguka maana kwa sasa sina nyumba wala chumba nalala popote hasa kwenye vituo vya treni,nikipata hela mara mojamoja nalala guest,na mara nyingine nalala stendi za daladala
Yaani sina kambi maalumu na sina nyumbani wala ndugu kusema utakimbilia huko ukajishikiza huku ukiendelea kutafakali jinsi gani ufanye,
In short nipo katika mtihani ,ni rahisi kusoma haya nayoandika na kufikiria katika hali ya kawaida lakini hali yangu kisaikolojia haiko vizuri kabisa yaani rohoni naumia mno ila sina namna ya kufanya
Ushauri wako au mtu mwenye uwezo wa kunisaidia kibarua chochote chenye kambi utakuwa umenisaidia sana
Elimu yangu :ualimu (msingi) ngazi ya cheti hivyo kama kuna shule watahitaji mwalimu nipo tayari na niko vizuri
Umri : 25yrs
Jinsia :male
Kazi zingine kama zitapatikana nazoweza kufanya ni:
-kibarua cha kusaidia mafundi (hapa nimetafuta sana lakini napata za kusaidia za siku moja kesho hupati tena )hivyo nikipata ambayo ni endelevu hata mwezi itafaa zaidi
-na kazi nyingine yoyote ile naweza fanya
-
Kama utaweza kunisaidia kazi yoyote hapo juu nitashukuru zaidi
Ahsante
Pia ushauri wako unaweza niokoa
