Killa Cam
JF-Expert Member
- Jun 12, 2022
- 2,884
- 8,065
Bibi yake amefariki🤣 hao wana kila aina ya sababu mkuu, pengine bibi kafariki hata yeye hajazaliwa🤣.Aisee hawa wadada siku hizi wanasumbua sanaa mtu ukimpata mheshimu sanaa me nashangaa wanaowapata alafu wanawanyanyasaa... Unaweza tapeliwaa mpaka ukahisi kufa kufa me nimekataa tama..!! Mwingine juzi kati nimemkatia mpaka tiketi usiku ananimbia hawezi kuja bibi yake amefarikii..