Habari zenu wana wa jukwaa hili..naomba msaada wa haraka kwa yeyote anayejua/kufahamu chuo ama taasisi inayotoa cheti cha uhakika cha SISCO Network....plz nahitaji msaada wenu
Kama unaongelea certification za CISCO basi hii haijalishi unaipata wapi inatungwa na CISCO na unatahiniwa kwa computer kwenye certified testing centers bongo kuna ya mlimani ucc, techno brain na nyingine moja nimesahau. Kama unataka ufundishwe kwanza hapi ndo kuna tofauti ya ubora.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.