Kyara Atufigwe
Senior Member
- Mar 29, 2015
- 120
- 68
Habari wana jamvi,
Kwa muda sasa kumekuwa na kelele nyingi za wizi unaofanywa na mitandao ya simu, kuanzia kwenye vifurushi hadi salio la kawaida.
Jambo la kushangaza, Mamlaka ya mawasiliano wenyewe wapo kimya kana kwamba hili haliwahusu.
Hebu tusaidiane hapa namna ya kuwafikia TCRA ili raia wa kawaida aweze kuwafikia na kuwasilisha kero yake.
Kwa muda sasa kumekuwa na kelele nyingi za wizi unaofanywa na mitandao ya simu, kuanzia kwenye vifurushi hadi salio la kawaida.
Jambo la kushangaza, Mamlaka ya mawasiliano wenyewe wapo kimya kana kwamba hili haliwahusu.
Hebu tusaidiane hapa namna ya kuwafikia TCRA ili raia wa kawaida aweze kuwafikia na kuwasilisha kero yake.