Nahitaji msaada wa kufungua bima ya matibabu

Kwanza nikupe pole, tena pole ya kutoka moyoni.

Kwa sasa upo na dawa gani? Au mbali na bima umepanga kufanya nini kingine kwa ajili ya matibabu yako?
 
Nakupa pole na pia nikujulishe kuwa mimi huwa nipatapo nafasi uombea wagonjwa wote ambao Hupitia majaribu ila huwa ni mitihani tu huwa nawaombea Mungu awasamehe dhambi zao nankuwaponya tafahdl tutakuombea pili kuwa waz mimi naisi maradhi yako sio ya kutibiwa hospital kwa hishu pingili plz kuna mitishamba inatibu kabsa mkuu.
 
Dah pole sanaaa tena sanaaaa Mungu ata kufanyia wepesi
 
Pole sana mpendwa Mungu atakisikia kilio chako. Labda ungeomba michango kwa watakaoguswa ili mwenye mia 2 mia 5 kupitia mitandao ya simu watoe mpaka ifike hiyo pesa ya bima ya afya unayatamani kuipata asante.
 
Pole sana mpendwa Mungu atakisikia kilio chako. Labda ungeomba michango kwa watakaoguswa ili mwenye mia 2 mia 5 kupitia mitandao ya simu watoe mpaka ifike hiyo pesa ya bima ya afya unayatamani kuipata asante.
asante mkuu.niko tayari kwa hilo pia
 
Kwanza nikupe pole, tena pole ya kutoka moyoni.

Kwa sasa upo na dawa gani? Au mbali na bima umepanga kufanya nini kingine kwa ajili ya matibabu yako?
kwa sasa sina dawa yoyote zaidi ya kufanya mazoezi tu.licha ya bima nna mpango wa kuwa na biashara hata ndogo ntaifanyia zaidi online na kumtumia mtu wa kudeliver mzigo cz hali yangu hainiruhusu kutembea mbali.siwezi.
ila bado sina
 
asante mkuu.maombi yako nayahitaji.huo wote ndo ukweli nloandika sijaficha kitu..kama madawa ya mitishamba unayajua pia sawa unsweza nisaidia siyafahamu
 
Pole sana kwa maumivu unayopata, ila hongera kwa juhudi ulizochukua ili kujua tatizo liko wapi.

Nashauri uongee na jf admins/moderators, wapate uhakika wa unachosema ili waruhusu uweke contacts zako hapa, mwenye nacho kidogo akusaidie. Naamini utasaidika ili upate unachohitaji.

Again, pole sana.
 
asante mkuu.ntafanya hivyo
 
Kweli aisee tufanye jambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…