Nahitaji msaada wa haraka

Nahitaji msaada wa haraka

tophertofali

Member
Joined
Jul 18, 2013
Posts
7
Reaction score
0
Habari zenu binafsi wakuu. Nimepoteza leseni leo jioni na nataka kwenda kufuatilia leseni nyingine kesho. nahitaji kujua process ya kufata na vitu muhimu nnavyotakiwa kuwa navyo.
 
straight nenda tra upande wa leseni ukiwa na kitambulisho chochote na tin number then taarifa zako zote zipo kule do it, ila usiache kutembea na pesa kidogo
 
Back
Top Bottom