Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,505
- 9,286
- Thread starter
-
- #61
Ngumu hii kufanya but i will do my best mkuuDon't be attached to anyone, attachment will make you vulnerable...and do not expect anything from them, cause expectations hurts.
Asante mkuuVery simple task.
1. Kama unashindwa kusamehe maana yake kila unapowawaza/wafikiria, moyo wako unaumia, automatically CHUKI dhidi yao inaanza kama sio kukua.
2. Sasa tuangalie madhara ya chuki hii.
Wewe ukiwachukia wao hawapati hasara yoyote coz wao hawana cha kupoteza kama utawachukia. So automatically ni wewe ndiye unayezidi kuwachukia na unazidi kuumia.
3. Swali la kujiuliza ni hao watu ambao wamakufanyia mabaya wana thamani gan kwako/ msaada wao n nin maishani mwako?
Kama jibu ni kwamba hawana msaada wowote kwako na hawana thamani kwako, kwanini basi wakuumize zaidi?
Kama walishakuumiza, yanini basi kuendelea kumfikiria mtu ambaye ni kikwazo kwako?
Nadhani kuwapuuza ni jambo sahihi, ukiwapuuza na kufanya maisha yako nadhani ni adhabu nzuri kwao na ina faida kwako.
NB: Usiruhusu adui yako akutesa kimatendo na kifikra pia.
Yangu ni hayo tu
Just do it lady...Ngumu hii kufanya but i will do my best mkuu
Asante
Karibu MkuuAsante mkuu
Pole sana ila ndio tulivyo wanadamu.
Ushauri wangu uchague moja ya vtu vifuatavyo kuondokana na the so called 'stress'
1. Sex sanaa!!, ikiwezekana kwa wiki mara 4/5
2. Jichanganye san club hasa kweny mziki
3. Tumia angalau chupa 3 za castle lite kwa wiki mara 4/5
4. Angalia sana katuni hasa animations aisee huta amini vile utakuwa una relax
5. Cheza sana video games 'PS'
NB: Hizo njia apo juu tumia moja wapo tu!, usichanganye mbili au tatu au zote kwa mpigo utaishia kujivuruga zaidi.
Na usisahau too much is harmful.
NAKUTAKIA KILA LA KHERI
Jaribu kujiweka mbali nao, kama ni ngumu kuwa nao mbali basi jijengee tabia ya kuwazoea, yani ukishamjua mtu tabia zake hawezi kukukwaza.
Hali ikizidi kuwa mbaya nenda hospital upate msaada wa kitaalam
Acha kuwa na marafiki. Ishi pekee yako kama mimi.Mwanadamu asipotumika katika Mema basi atatumika katika Mabaya, asipomtumikia Mungu atatumikishwa na Shetani, usiposababisha makwazo utasababishiwa,
Nifanyeje ili niweze kusamehe watu wanaonikosea kwa haraka bila kuumia kila siku kwa kukumbuka ubaya wanaonifanyia hasa wale ambao wananikwaza sana kila wakati au kila siku? Napata wakati mgumu sana jamani naombeni msaada wa namna yoyote ile ambayo naweza kuitumia ili moyo wangu usifadhaike.
waone kama binadamu wa kawaida tuu, pia ona kama watu ulio wazidi uwezo wa kufikilia, maana anaye kukwaza malanyingi ni mtu mwenye uelewa mdogo mpumbavu usije ukawajibu ukafanana na upumbavu wao!Mwanadamu asipotumika katika Mema basi atatumika katika Mabaya, asipomtumikia Mungu atatumikishwa na Shetani, usiposababisha makwazo utasababishiwa,
Nifanyeje ili niweze kusamehe watu wanaonikosea kwa haraka bila kuumia kila siku kwa kukumbuka ubaya wanaonifanyia hasa wale ambao wananikwaza sana kila wakati au kila siku? Napata wakati mgumu sana jamani naombeni msaada wa namna yoyote ile ambayo naweza kuitumia ili moyo wangu usifadhaike.