Nahitaji msaada tafadhali,.

Nahitaji msaada tafadhali,.

chakii

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2013
Posts
21,369
Reaction score
27,785
Wadau mimi natumia simu aina ya Nokia E-71-1, tatizo langu lipo kwenye connections ya internet! Jf naingia kwa kulegalega sana maana inaload mida mrefu sana, sasa mimi nataka nijiunge na Whatsapp inaniambia '' check your internet connections'' natumia line ya voda!! Tafadhali nahitaji msaada au namna ya kuifanyia configuration,. Natanguliza shukrani
 
Back
Top Bottom