Nahitaji msaada, mke wa mtu ananiganda

Nahitaji msaada, mke wa mtu ananiganda

Mimi ni kijana wa miak 25 Sasa naingia mwaka huu Kuna mke wa mtu ananisumbua ananitumia message namba tofauti tofauti nishamtukana na kuama mtaa ,mwazoni alihitaji msaada WA pesa aliniomba nikampa elfu 50 alisema Mama yake anaumwa Sasa ivi anasema anataka kulipa fadhila kuja Kwangu HIO ZAMBI YA MKE SIITAKI NISHAMWAMBIA IYO NIMETOA KAMA SADAKA BADO NIFANYE NJIA GANI
Y for yas

eat yas and yas mixx
 
Mimi ni kijana wa miak 25 Sasa naingia mwaka huu Kuna mke wa mtu ananisumbua ananitumia message namba tofauti tofauti nishamtukana na kuama mtaa ,mwazoni alihitaji msaada WA pesa aliniomba nikampa elfu 50 alisema Mama yake anaumwa Sasa ivi anasema anataka kulipa fadhila kuja Kwangu HIO ZAMBI YA MKE SIITAKI NISHAMWAMBIA IYO NIMETOA KAMA SADAKA BADO NIFANYE NJIA GANI
Mgandee mumeweee msaada wangu wa mwishoo

Mengine siriyenu
 
Msaada pekee naoweza kukupa ni ushauri wa kuwa na msimamo matusi hayatasaidia, hayo ni kama mapepo hata uyatukane hayasikii akiendelea panga siku mkutane halafu mtaarifu na mme wake mwende pamoja.
 
Daaah kweli kabisa hata mimi ujanja wangu wote huu silagi mke wa mtu...

Nakula mashangazi na single maza ila.mke wa mtu naogopa sana


Ila wewe ni mzembe
Ila wewe ni mzembe 😂😂😂😂😂
 
We ni mzima kweli unahama mtaa kisa mwanamke anataka uichape?.
 
Back
Top Bottom