Nahitaji msaada kitabu hiki. Principles of Aqueculture.

Slave

JF-Expert Member
Dec 6, 2010
5,314
2,635
Nili google nikakipata amazon ila bei yake imenifanya niombe msaada.kimeandikwa prinsiples of aquaculture by rober r.stick. Kinauzwa §290
 
kama upo mikoa ya kusini jaribu kwenda pale Songea boys high skul au St. Pauls Liuli sec kuna hv vtabu vingi sana kwenye maktaba zao..!?
 
thanx mtazamaji
 
Hakuna free copy yake online, labda jaribu hiki kama kitakufaa Aquaculture: Principles and Practices, 2nd Edition kinapatikana <a href="http://www.4shared.com/q/010/Aquaculture" target="_blank">Aquaculture - 4shared.com download free</a><br />
pia kitanifaa sana tu.nashukuru sana
 
Jaribu kuwasiliana na meember mmoja humu anaitwa X PASTER na muuulize kama kwenye hifadhi yake anacho hicho kitabu....
 
Jaribu kuwasiliana na meember mmoja humu anaitwa X PASTER na muuulize kama kwenye hifadhi yake anacho hicho kitabu....
ngoja nim-pm pia nakumbuka aliwahi kunipa kitabu cha c++.
 
Jaribu kuwasiliana na meember mmoja humu anaitwa X PASTER na muuulize kama kwenye hifadhi yake anacho hicho kitabu....
ngoja nim-pm pia nakumbuka aliwahi kunipa kitabu cha c++.
 
jamiiforums bwana nikiboko yao. Nashkuru sana mkubwa.
 
Kwenye Amazons unaweza kupata bei rahisi ya hiyo. Vile vile kuna encyclopaedia ya aquaculture inayopatikana bure hapa: request download ticket | ifile.it, pengine utahitajika kuitafuta kwanza. Fuatilia maelezo hapo chini.
Na kwa wengine wote wanaotaka free ebooks wanaweza kupitia hapa: welcome - library.nu. Unabofya tu na kutafuta kitabu unachokitaka. Baadae unabofya kwenye kitabu, pakishafunguka unaingia kwenye ifile.it ambako utapelekwa kwenye "request download ticket" baade unadownload.
Kila la heri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…