mysara2011
Member
- Sep 28, 2017
- 69
- 84
Jamani nisaidieni mwenzenu yani kuna mda naumwa kichwa mpaka nahisi navurugwa na ukizingatia nimeenda hospital nimepima vipimo vingi hakuna ugonjwa mpaka kuna kipindi nikahisi may be nimeukwaa nako nikapima nikakutwa sina tatizo.Plz nisaidieni hata dawa za mitishamba zinazotibu nitashukuru maana hii too much nami nachoka kulalamika daily naumwa maana inakuwa as if nafanya maigizo kuna mtu alinishauri ninywe mlonge lakini nao haujanisaidia plz msaada wenu kwa anayejua tiba.