Nahitaji msaada ata wa kimawazo

Nahitaji msaada ata wa kimawazo

Franc chaula

Member
Joined
Feb 8, 2013
Posts
6
Reaction score
1
mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa pili chuo nasomea urban planning,natafuta kibarua chochote ambacho ata ikiwa mbali na ninachosomea ila mradi nipate hela ya kula na kujilipia maitaji yangu ya chuo sababu sikubahatika kupata mkopo,kibarua kipindi cha likizo mwezi wa 2 na mwezi wa 6.
 
mi nachokushaur tafuta short course ya uchojar kwa autocad na archicad , itakutoa mapema kabla hujamaliza chuo ukijua kuchora vizur!
 
Ndugu unaweza pia kujaribu kutafuta shule za sekondari(hata za kata) ukaomba walau kufundisha!
 
Back
Top Bottom