Nahitaji mpishi haraka

Ambassador

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2008
Posts
933
Reaction score
77
Assalamu alaykum waungwana. Natafuta mpishi mzuri anayeweza kupangilia menu za aina mbalimbali kwa ajili ya mgahawa wa kisasa ulioko Kinondoni. Mwenye taarifa au contact za mtu kama huyo anaweza kunirushia hapa au kunitumia PM. Natanguliza shukurani.
 
Assalamu alaykum waungwana. Natafuta mpishi mzuri anayeweza kupangilia menu za aina mbalimbali kwa ajili ya mgahawa wa kisasa ulioko Kinondoni. Mwenye taarifa au contact za mtu kama huyo anaweza kunirushia hapa au kunitumia PM. Natanguliza shukurani.

tangaza mshahara nikupe contact
 
Assalamu alaykum waungwana. Natafuta mpishi mzuri anayeweza kupangilia menu za aina mbalimbali kwa ajili ya mgahawa wa kisasa ulioko Kinondoni. Mwenye taarifa au contact za mtu kama huyo anaweza kunirushia hapa au kunitumia PM. Natanguliza shukurani.
Assalamu alaykum waungwana. Natafuta mpishi mzuri anayeweza kupangilia menu za aina mbalimbali kwa ajili ya mgahawa wa kisasa ulioko Kinondoni. Mwenye taarifa au contact za mtu kama huyo anaweza kunirushia hapa au kunitumia PM. Natanguliza shukurani.
Assalamu alaykum waungwana. Natafuta mpishi mzuri anayeweza kupangilia menu za aina mbalimbali kwa ajili ya mgahawa wa kisasa ulioko Kinondoni. Mwenye taarifa au contact za mtu kama huyo anaweza kunirushia hapa au kunitumia PM. Natanguliza shukurani.
 
Hebu angalia tarehe ya thread mkuu.
 
Kwann ukiacha kazi kwenye hizo hotel na sasa uko mtaani unahangaika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…