alii bomaye
Member
- Jun 30, 2015
- 8
- 0
Mimi ni kijana wa miaka 23 niko chuo degree mwaka wa 3 Dar es Salaam. Niko single na ninatafuta mpenzi wa kuwa nae kwenye mahusiano.Aliyetayari ani PM kwa mawasiliano zaidi
Mwenzio anahitaji mpenzi, wewe unataka akanunueUnakaa Mabibo? Kama ni ndiyo hebu nenda hapo Mandela road, kituo cha hostel panda daladala hafi Buguruni Sheli,(nauli 400) shuka vuka upande wa pili, kuna PM inaitwa Kimboka hapo utachagua ww, kama panazingua nenda pale PM ya Sewa bar
Unakaa Mabibo? Kama ni ndiyo hebu nenda hapo Mandela road, kituo cha hostel panda daladala hafi Buguruni Sheli,(nauli 400) shuka vuka upande wa pili, kuna PM inaitwa Kimboka hapo utachagua ww, kama panazingua nenda pale PM ya Sewa bar
Chuo chenu ni boys tupu?
Chuo chetu si boys tupu
Why, not a wife?
Ngoja uchanguzi uishe bhana Imebaki siku moja tu taifa liwe kwenye ukombozi mpya! Tangazo lako utalileta huku jumatatu! Halafu acha udomo zenge mademu kibao wamejaa huko bongo unashindwa kuwatongoza? Humu huwezi kumpata msichana mwenye umri wa miaka 20 kurudi chini! M pm tatty au charty wana watoto wa kike wakubwa kama una dau la mahari kazi kwako!
Sasa kwanini usitongoze wanachuo wenzio au mdomo mzito
Chuo chenu ni boys tupu?