Kwani mtu Kua mgeni na new ID nikosa?? Mi nawashanga vijana wa jf. Utathani hiki ni kikoba kwamba wageni hawawezi ku comment sijui.
That's being selfish.
Alafu wengine wanaume wanasema kwamba niwachache mbona nanyie mnatafta humu wanawake. Does it mean wanawake ni wachache.
My take some of you guys should stop criticizing each and everything
Sent using Jamii Forums mobile app
True wanaume ni wachache lakini mbona na nyie mnatafta wakati wanawake ni wengi.Mmmmhh naww unahitaji au Tatar unae maaana n kweli wanaume wachache wanawake mko weng
Sent using Jamii Forums mobile app
Niko poa wapi mkuu nimeshakubali mi kibungo hapo au haujaona vizuri mkuuKama upo poa njoo
Njoo pm na ubungo wako tutarekebishanaNiko poa wapi mkuu nimeshakubali mi kibungo hapo au haujaona vizuri mkuu
Unamaana awe mpnz pia houseboy!Nahitaji mpenzi na msaidizi wa maisha
Nimekulia maisha ya mahangaiko..nahitaji mtu wa kunitoa upweke na huzuni nliyonayo. Nahitaji kutulia nami
Naitaji wa kunishika mkono nitoke hapa nilipo
Naahidi upendo wa kweli kwako.
Mimi ni mwanamke. 24-28
Mkristo
Menine utayajua
Asante
Sent using Jamii Forums mobile app
Jidanganye tu mzee baba,wanawake wa jf ni vibungo balaa!!
AsubutuuuNjoo pm na ubungo wako tutarekebishana
Mkuu nipe ufafanuzu sikuwai kulijua hiliwengi wenu mkishapata msaidizi mnasahau mlipotoka..
wanawake design hii mpo tayari kuwa na anybody.. until you are in a good position to get that somebody..
hili limeonekana kwa barnaba na aslay.. pambana tu mama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uoga kubali witoAsubutuuu
Aaa duduwasha mbona umenikomalia,haumuoni king'asti huyoAcha uoga kubali wito
Siri kubwa ya kufanikiwa au kupata ni kung'ang'ania au ujui hilo... nakukaribisha pm au nije mie?Aaa duduwasha mbona umenikomalia,haumuoni king'asti huyo
Mara nyingi mnakuwa hamko serious, mtu anakufwata PM lakini at the end unazingua, sio poa na wala tusitegane!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe ushawahi kutoa interview ya hivyo mkuu!?