Nakuombea duaa ufanikiwe BG!Kusema ukweli mimi nna shida!Kama unamaanisha unayosema hapa naomba tuwasiliane kaka!
Saidia watoto yatima, saidia maskini, saidia wagonjwa hapo ndipo moyo wako wa kusaidia tutakapoukubali.
huyu ana lake jamboHongera zako kwa moyo wako wa kusaidia.
Kila nikisoma napata hisia kwamba umeagizwa na mganga labda.Habari wana jamvi la JF!.
Sina makuu...nahitaji mpz awe wa kike umri wowote..awe mwenye matatizo yz kipesa au kimaisha ntamsaidia mawazo hata pesa. Ila ku-do sitohitaji. Sina tamaa za mwili maaba ninae mke wangu anantosha. Maana jamii kubwa siku hupewi msaada lazima mwisho utadaiwa ngono...ama ww unaesaidiwa ili uwekeze zaidi utagawa.
Sina niya mbaya mwenzenu. Nimezoea kila nkiwa safarini nje ya nchi na marafiki zangu...moyo wakusaida/kusaidiwa.
Nawakilisha.