Nahitaji moderm ya halotel

Nahitaji moderm ya halotel

Rajabu Msechu

Member
Joined
Apr 13, 2016
Posts
35
Reaction score
18
Kama Tangazo linavyojieleza hapo juu, mwenye moderm ya Halotel ambayo ipo kwenye hali nzuri anijulishe mara moja.


Kwa Wale walioserious wanicheki Inbox
.
 
tumia smart phone tethering teknolojia ya kubeba mizigo ya modem imepitwa na wakati
 
Utajuta bando bei nafuu lakini mb nashanga zinayeyuka upesi si mchezo
 
Kama Tangazo linavyojieleza hapo juu, mwenye moderm ya Halotel ambayo ipo kwenye hali nzuri anijulishe mara moja.


Kwa Wale walioserious wanicheki Inbox
.
kwanini unajifungia? tafuta modem/router ambayo ni universal, utatumia line zote, na modem unlocked na hizo za mitandao bei ni zile zile,
 
labda tatizo lipo kwako, mimi napokea
Hivi CHIEF MKWAWA hii kutumia simu nahisi kama inahalibu sana waya wa usb. Pamoja na system charge ya simu? Au pc yangu ndo tu inamatatizo. Mana nilikuwa na simu ya kwanza tangu nilivoanza kutether, ikaanza kuchagua charge, hatimae na yenyew ikafa system charge. Nikanunua simu ya pili na yenyewe haikuchukua mda nilivokuwa tu natumia kwenye pc pia waya wake wa usb ukafa pia. Ni kawaida au pc yangu ina problem.
 
Android phone
Nenda settings
Nenda wireless & Network
(More)Nenda tathering & portable hotspot
Nenda portable Wi-Fi hotspot (weka on)
Weka on WiFi kwenye PC au simu nyingine itasoma
 
Back
Top Bottom