Unaweka dhamana gani?Wakuu, kama heading inavyojieleza....
Ninahitaji mtu Anayeweza kunikopesha Milioni 2 na nitairudisha ndani ya miezi miwili Kwa Riba...
It's Urgent, please I need your help...
Acha ujinga ww hujui riba ni zambi nenda sinza utapata kwani ndio maisha yao ya kukopa navkukopesha kwa riba na ndiomana hawaendelei kabisa simza shetani huzunguka kwa vijanaWakuu, kama heading inavyojieleza....
Ninahitaji mtu Anayeweza kunikopesha Milioni 2 na nitairudisha ndani ya miezi miwili Kwa Riba...
It's Urgent, please I need your help...
Vipi mnafanya na uhakiki wa vyeti?Sisi tunatoa ila lazma uwe civil servant .
Vipi mnafanya na uhakiki wa vyeti?
Sisi tunatoa ila lazma uwe civil servant .
Hahahaaa duh! Kweli humu kuna vimbwangaAcha umbayu wayu [emoji16] [emoji16] [emoji49] [emoji49]
Vipi mnafanya na uhakiki wa vyeti?
Kama upo serious niibox NAMBA yako mm ntakupa fursa ya kupata hyo pesa tena bila riba
Kama kuna Gari iko vizuri inapaki kwenye yard yetu unapewa mzigo