Hi habari zenu wana JF.
Nina shida very imediately ya Milion 13 pesa itarudishwa ndani ya mda mfupi pamoja na riba kama itahitajika ni very urgently situation..i have tried to go to some financial institutions but wanahitaji uwe na biashara na some bank statements za biashara.. Wakati kwa upande wangu sina biashara ila nina my own house ambayo nahitaji kuiweka dhamana kwa kipindi chote cha mkopo huo my house iko mbezi beach waungwana na nina uhitaji wa haraka juu ya hii pesa so kwa yeyote ambaye anaweza kunipa msaada huu imediately please anijulishe....utaratibu utafata all tjr legal procedures za kisheria na kuthibitishwa kwa kila nyaraka pande zote mbili ili tuwe secured please i will be able to pay reasonable interest rate as the cost of money i took..please naomba kwa aliyeserious kunipa support ani PM tafadhali..
Nina shida very imediately ya Milion 13 pesa itarudishwa ndani ya mda mfupi pamoja na riba kama itahitajika ni very urgently situation..i have tried to go to some financial institutions but wanahitaji uwe na biashara na some bank statements za biashara.. Wakati kwa upande wangu sina biashara ila nina my own house ambayo nahitaji kuiweka dhamana kwa kipindi chote cha mkopo huo my house iko mbezi beach waungwana na nina uhitaji wa haraka juu ya hii pesa so kwa yeyote ambaye anaweza kunipa msaada huu imediately please anijulishe....utaratibu utafata all tjr legal procedures za kisheria na kuthibitishwa kwa kila nyaraka pande zote mbili ili tuwe secured please i will be able to pay reasonable interest rate as the cost of money i took..please naomba kwa aliyeserious kunipa support ani PM tafadhali..