Haswa!!Umeweka sifa za unayemtaka, na wao si wana sifa zao kutoka kwako watahitaji kuzifahamu?
Mchumba kwani mi nna nini hadi unikane hivoSikuhitaji kabisa hata kwakukosea sitaki nikosee kwako
Mchumba kwani mi nna nini hadi unikane hivo
Mwenzangu!!!!!!
Sio kwa mkano huo!!!!
Tena kaongea kwa msisitizo kweli, huyu member mkongwe nini!!!Mwenzangu!!!!!!
Ngoja nkasafishe nyota kwa mshana
salio bei ganMbona nimeshatoa
Unahitaji mke wa kuoa! Sasa utaoaje mke wa mwenzio?SIFA -----Awe mkristo ikiwezekana awe msabato .
Awe ana kazi
Asiwe alie jichubua .
Asiwe mlevi.
Awe mkarimu .
Anipende.
Awe na umri usiozidi miaka 28 naasipungue 25.
Awe mnene kiasi.
0658051775
Usilete utani