hahahaha, kwani uyo ni KE ?Uliringa wakati wa ujana sasa upo desperate kupata mke.
Ina apply kote kote hiyo. Ona anavyohangaika na uzee wote huohahahaha, kwani uyo ni KE ?
Ina apply kote kote hiyo. Ona anavyohangaika na uzee wote huo
Kuringa sio lazima utongozwe.hapana ina apply kwa KE tu , maana ndio wanaotongozwa na kukataa au kukubali,
dume hatongozwi ( siongelei mashoga ) , sasa ataringaje ?
🤣 🤣 🤣 🤣 huyo ni mie kabisa, naona jamaa labda yamemshindaKuringa sio lazima utongozwe.
Huyo alikuwa na swaga za mie sitakuja kuoa napiga nasepa.
Wanajipaga moyo hivyo hivyo yakiwafika kooni desparation yao huwa ni balaa afadhali ya wanawake.Kuringa sio lazima utongozwe.
Huyo alikuwa na swaga za mie sitakuja kuoa napiga nasepa.
Umri ukisonga mke utamtafuta tu.🤣 🤣 🤣 🤣 huyo ni mie kabisa, naona jamaa labda yamemshinda
Apambane na hali yake sasaWanajipaga moyo hivyo hivyo yakiwafika kooni desparation yao huwa ni balaa afadhali ya wanawake.
mke wa nini ? ilihali maziwa napata kila nikihitaji ?Umri ukisonga mke utamtafuta tu.
Ukikua utaelewa.mke wa nini ? ilihali maziwa napata kila nikihitaji ?
Subiri ufike 50 bila ndoa halafu uje hapa kutueleza hayo. Ukikua utagundua kuwa ndoa sio sex peke yake.mke wa nini ? ilihali maziwa napata kila nikihitaji ?
Subiri ufike 50 bila ndoa halafu uje hapa kutueleza hayo. Ukikua utagundua kuwa ndoa sio sex peke yake.
Umekariri maisha. Kila la kheri.kwa hawa 'jenereshen' ya sasa walio kimaslahi zaidi , ukifulia anaenda kugongwa 'nje' ?
bora kua alone,
Hana elaIna apply kote kote hiyo. Ona anavyohangaika na uzee wote huo
ItakuwaHana ela