ELIFURAHA MAKOMBE
Senior Member
- Dec 22, 2012
- 176
- 22
Habari za asubuhi ndugu zangu,ni muda mrefu nakuwa nkitumia huu mtandao but ombi langu bado halija fanikiwa,Ila mim n mwanaume wa 27 yrs,mrefu na mweusi wa maji ya kunde,elimu ya chuo kikuu.
Ombi langu n kupata msichana wakuanzanae mahusiano kwa dhamira ya kuja kuwa baba na mama if GOD wishes.
Ni vizuri akiwa na umri from 18-25,mrefu kiasi,mweupe au maji ya kunde,elimu ya form 4 nakuendelea,kabila lolote kikubwa akubali mila zetu za kichaga na dini yngu ya kikristo.
Mim npo dar maeneo ya mbagala kuu,contact 0715 406010,email elly.makombe@gmail.com.
Ombi langu n kupata msichana wakuanzanae mahusiano kwa dhamira ya kuja kuwa baba na mama if GOD wishes.
Ni vizuri akiwa na umri from 18-25,mrefu kiasi,mweupe au maji ya kunde,elimu ya form 4 nakuendelea,kabila lolote kikubwa akubali mila zetu za kichaga na dini yngu ya kikristo.
Mim npo dar maeneo ya mbagala kuu,contact 0715 406010,email elly.makombe@gmail.com.