Nahitaji mke; kwa aliye tayari karibu

Nahitaji mke; kwa aliye tayari karibu

kivutio

Member
Joined
Jun 20, 2014
Posts
58
Reaction score
36
Najitokeza kwenye uwanja huu nami kuweka tangazo langu la kumsaka mwenza wa maisha. Kwa wale tu wenye dhamira ya dhati ya uhitaji naomba mni-pm.

Sifa za mke nimtakaye ni:-

1. Mkristo

2. Asiwe mnene

3. Rangi yake asiwe mweusi

4. Umri usizidi miaka 28.

Mm si mnene, ni mweusi na kimo cha kati. Nina umri wa miaka 35, mengine tutaongea kwenye pm.

Karibuni sana naomba kuwasilisha.
 
humu yupo mwenye hivyo vigezo pia ana masters degree .. UTAMWEZA?

na yeye ana vigezo vyake si haba.
 
Najitokeza kwenye uwanja huu nami kuweka tangazo langu la kumsaka mwenza wa maisha. Kwa wale tu wenye dhamira ya dhati ya uhitaji naomba mni-pm.

Sifa za mke nimtakaye ni:-

1. Mkristo

2. Asiwe mnene

3. Rangi yake asiwe mweusi

4. Umri usizidi miaka 28.

Mm si mnene, ni mweusi na kimo cha kati. Nina umri wa miaka 35, mengine tutaongea kwenye pm.

Karibuni sana naomba kuwasilisha.

mh mkuu unachagua kama vile ushawahi kuumba hata ukucha.haya watakuja
 
Pole sana. Kwa uzoefu wangu mke hachaguliwi kama karanga. Wewe ni mkristo na miaka 35 bado umechagua huko ulimwengu wenye mwanga umekosa sasa unakuja huku kwa IDs fake. Mke mwema anatoka kwa Mungu bali mali mtu hupewa na babaye. Ni vema umwombe Mungu na mke mwema hajalishi sura, unene; ufupi na mazagazaga yote. Tuliompa Mungu nafasi alitupa wake wema na tumeshazipita several anniversaries.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom