Nahitaji Mke Awe Anakaa Mtwara

Sep 15, 2016
29
5
Mimi ni kijana wa miaka 31 ni mkristo nakaa mtwara vjjn nahitaji mke awe anakaa mtwara awe mkristo umri kuanzia miaka 18-28 kwa mawasiliano zaidi karibuni Pm
 
Hata akiwa sio mzaliwa wa huko "Ntwala" uko tayari? kwa mfano akiwa mchaga but anaishi Ntwala uko tayari kwa yote na kumpenda alivyo? (mind you wale hawana mambo ya unyago nakufundishwa...)
 
Mkuu huko si mnaoana waume kwa waume na mnakaa miezi minne bila kutambuana?
Punguza lugha za kuudhi kwa wenzio... Yeye akikutusi kwa namna hiyo utaridhika? Wengine tunayo bahati ya kuzunguka mikoa yote ya Tanzania, unaishi mkoa gani ulio na maisha tofauti na mikoa mingine? Acha ushamba
 
Punguza lugha za kuudhi kwa wenzio... Yeye akikutusi kwa namna hiyo utaridhika? Wengine tunayo bahati ya kuzunguka mikoa yote ya Tanzania, unaishi mkoa gani ulio na maisha tofauti na mikoa mingine? Acha ushamba
Vipi mkuu ,uko Mtwara.
 
Acha uzwazwa hivi mnashindwa kutafuta wanawake huko mlipo mnaangaika jf ambapo watu wenyewe hamuonani hata, aise ebu kuweni aware na mambo madogo , we pambana na hali yako, kwanza huko si mnaoana wanaume kwa wanaume
 
Acha uzwazwa hivi mnashindwa kutafuta wanawake huko mlipo mnaangaika jf ambapo watu wenyewe hamuonani hata, aise ebu kuweni aware na mambo madogo , we pambana na hali yako, kwanza huko si mnaoana wanaume kwa wanaume
Watu wanapata wenzawao humu humu pia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom