benjaminielia85
Member
- Sep 15, 2016
- 29
- 5
Mimi ni kijana wa miaka 31 ni mkristo nakaa mtwara vjjn nahitaji mke awe anakaa mtwara awe mkristo umri kuanzia miaka 18-28 kwa mawasiliano zaidi karibuni Pm
Mkuu huko si mnaoana waume kwa waume na mnakaa miezi minne bila kutambuana?Mimi ni kijana wa miaka 31 ni mkristo nakaa mtwara vjjn nahitaji mke awe anakaa mtwara awe mkristo umri kuanzia miaka 18-28 kwa mawasiliano zaidi karibuni Pm
hahahaha ila yule nahisi alikuwa boya sio kwa miezi hyo humjui mkeo yukojeMkuu huko si mnaoana waume kwa waume na mnakaa miezi minne bila kutambuana?
Aisee chaga kwa helaaaaaHata akiwa sio mzaliwa wa huko "Ntwala" uko tayari? kwa mfano akiwa mchaga but anaishi Ntwala uko tayari kwa yote na kumpenda alivyo? (mind you wale hawana mambo ya unyago nakufundishwa...)
Hata akiwa sio mzaliwa wa huko "Ntwala" uko tayari? kwa mfano akiwa mchaga but anaishi Ntwala uko tayari kwa yote na kumpenda alivyo? (mind you wale hawana mambo ya unyago nakufundishwa...)
Mbona picha zilioneshwa na kila mtu aliona ?Hapana hizo taarifa sio za kweli balibabambonahi
Mwenyewe nilishangaa,uoe halafu usipige gem miez yote ile?hahahaha ila yule nahisi alikuwa boya sio kwa miezi hyo humjui mkeo yukoje
Punguza lugha za kuudhi kwa wenzio... Yeye akikutusi kwa namna hiyo utaridhika? Wengine tunayo bahati ya kuzunguka mikoa yote ya Tanzania, unaishi mkoa gani ulio na maisha tofauti na mikoa mingine? Acha ushambaMkuu huko si mnaoana waume kwa waume na mnakaa miezi minne bila kutambuana?
Vipi mkuu ,uko Mtwara.Punguza lugha za kuudhi kwa wenzio... Yeye akikutusi kwa namna hiyo utaridhika? Wengine tunayo bahati ya kuzunguka mikoa yote ya Tanzania, unaishi mkoa gani ulio na maisha tofauti na mikoa mingine? Acha ushamba
Hapana, mie niko Arusha.... Ila sijapenda lugha uloitumia!Vipi mkuu ,uko Mtwara.
Watu wanapata wenzawao humu humu piaAcha uzwazwa hivi mnashindwa kutafuta wanawake huko mlipo mnaangaika jf ambapo watu wenyewe hamuonani hata, aise ebu kuweni aware na mambo madogo , we pambana na hali yako, kwanza huko si mnaoana wanaume kwa wanaume