TuwasilianeHabari wadau WA JF
Naomba anaejua connection ya Mifuko hii inapopatikana kwa wingi. Popote pale nitaifuata mwenyewe. Naomba mnitajie na bei yake
Nahitaji kwa bei ya jumla. Mifuko hii huwa inafungashiwa sukari ya kg 50.
Nahitaji Mifuko tupu mingi.View attachment 2263554
Nahitaji ya biashara Tu mkuu, vipi unajua inapouzwa kwa bei nafuu!
Lengo lako kitu gani? Ukawapige wananchi changa la macho?Ya Aina hiyo tu
Ya Aina hiyo tu
Pm yako pia ina shidaNaomba nicheki pm yangu , Maana pm yako imefungwa
Nimesha kupmSijafunga pm labda ni tatzo la jf wenyewe
Umefanikiwa kule nilikokuelekeza?Nawe pia nipe MUONGOZO
Brother habari unaweza nisaidia nitapata wapi hii mifuko ya kg 50?Umefanikiwa kule nilikokuelekeza?
Yoyote au una masharti ya kampuni?Brother habari unaweza nisaidia nitapata wapi hii mifuko ya kg 50?
Yoyote tu sina mashartiYoyote au una masharti ya kampuni?