![]()
Dodma JKT kuna aina mpya inafanya vzur sna
bei ya mche mmoja sh. ngapi?![]()
Dodma JKT kuna aina mpya inafanya vzur sna
Lindi si uende halmashauri wana vitalu kibao,njoo inbox nikuelekeze...Kama upo Lindi au Mtwara na unayo miche ya zao la korosho ILIYOBEBESHWA nahitaji kununua mawasiliano 0683776379
Lindi si uende halmashauri wana vitalu kibao,njoo inbox nikuelekeze...
Nami nasubiri majibu ya bei
Hiyo Dodoma JKT iko wapi au ndio Makutupora? Hizo mbegu kwa Dodoma zinapatikanaje?