Chililo
Senior Member
- Mar 22, 2013
- 150
- 114
Wadau, Habari za leo.
Mimi ni mfugaji wa samaki, tayari nina mabwawa matatu ya samaki na nimeshaweka vifaranga vya samaki ambavyo vina miezi minne. mabwawa yangu ni makubwa na mazuri sana. changamoto ninayokutana nayo ni namna ya kupata chakula cha kuwalisha hawa samaki/ Hivyo naomba kupata mtu wa kunifadhili chakula cha kuwalisha hawa samaki, ambaye tutaingia naye Mkataba.
Naamini hapa Jukwaani nitawapata. Namba yangu ni 0769555850.
karibuni sana wadau
Mimi ni mfugaji wa samaki, tayari nina mabwawa matatu ya samaki na nimeshaweka vifaranga vya samaki ambavyo vina miezi minne. mabwawa yangu ni makubwa na mazuri sana. changamoto ninayokutana nayo ni namna ya kupata chakula cha kuwalisha hawa samaki/ Hivyo naomba kupata mtu wa kunifadhili chakula cha kuwalisha hawa samaki, ambaye tutaingia naye Mkataba.
Naamini hapa Jukwaani nitawapata. Namba yangu ni 0769555850.
karibuni sana wadau