Kwanini tumefikia hapa....Wapendwa habari zenu
Nipo bored sana na maisha ya kuoa na kuishi na mke ,so nahitaji mwanamke ambaye atanizalia mtoto, mwanamke awe anayejitegema namanisha anafanya kazi au biashara, kifupi anayejishuhulisha, zaidi mwenye upendo na si aliye olewa au yupo kwenye mahusiano .
Ntapendelea zaidi mwanamke ambaye hajawahi kua na mtoto au ana mtoto lakini anatamani mwingine.
Nitajitolea kwa hali na mali kumlea mtoto na kumpa malezi bora na upendo kama baba. Zingatio liwe hili kwamba utakaponizalia haimanishi kwamba tutafunga ndoa, i dont believe in marriages. Mtoto kwa badae ntabaki naye ila sio kwamba sintokuruhusu umuone, tutapanga utaratibu mzuri tu wa kuonana naye.
PM iko wazi kwa mwanamke yeyoye atakayeridhia ombi langu.
Rubbish taka taka.....angekua dada ako au mama ako ungependekeza azalishwe tu....shitWapendwa habari zenu
Nipo bored sana na maisha ya kuoa na kuishi na mke ,so nahitaji mwanamke ambaye atanizalia mtoto, mwanamke awe anayejitegema namanisha anafanya kazi au biashara, kifupi anayejishuhulisha, zaidi mwenye upendo na si aliye olewa au yupo kwenye mahusiano .
Ntapendelea zaidi mwanamke ambaye hajawahi kua na mtoto au ana mtoto lakini anatamani mwingine.
Nitajitolea kwa hali na mali kumlea mtoto na kumpa malezi bora na upendo kama baba. Zingatio liwe hili kwamba utakaponizalia haimanishi kwamba tutafunga ndoa, i dont believe in marriages. Mtoto kwa badae ntabaki naye ila sio kwamba sintokuruhusu umuone, tutapanga utaratibu mzuri tu wa kuonana naye.
PM iko wazi kwa mwanamke yeyoye atakayeridhia ombi langu.
Wapendwa habari zenu
Nipo bored sana na maisha ya kuoa na kuishi na mke ,so nahitaji mwanamke ambaye atanizalia mtoto, mwanamke awe anayejitegema namanisha anafanya kazi au biashara, kifupi anayejishuhulisha, zaidi mwenye upendo na si aliye olewa au yupo kwenye mahusiano .
Ntapendelea zaidi mwanamke ambaye hajawahi kua na mtoto au ana mtoto lakini anatamani mwingine.
Nitajitolea kwa hali na mali kumlea mtoto na kumpa malezi bora na upendo kama baba. Zingatio liwe hili kwamba utakaponizalia haimanishi kwamba tutafunga ndoa, i dont believe in marriages. Mtoto kwa badae ntabaki naye ila sio kwamba sintokuruhusu umuone, tutapanga utaratibu mzuri tu wa kuonana naye.
PM iko wazi kwa mwanamke yeyoye atakayeridhia ombi langu.
Mkuu mbona umepost thread moja kwa id mbili tofaut?Wapendwa habari zenu
Nipo bored sana na maisha ya kuoa na kuishi na mke ,so nahitaji mwanamke ambaye atanizalia mtoto, mwanamke awe anayejitegema namanisha anafanya kazi au biashara, kifupi anayejishuhulisha, zaidi mwenye upendo na si aliye olewa au yupo kwenye mahusiano .
Ntapendelea zaidi mwanamke ambaye hajawahi kua na mtoto au ana mtoto lakini anatamani mwingine.
Nitajitolea kwa hali na mali kumlea mtoto na kumpa malezi bora na upendo kama baba. Zingatio liwe hili kwamba utakaponizalia haimanishi kwamba tutafunga ndoa, i dont believe in marriages. Mtoto kwa badae ntabaki naye ila sio kwamba sintokuruhusu umuone, tutapanga utaratibu mzuri tu wa kuonana naye.
PM iko wazi kwa mwanamke yeyoye atakayeridhia ombi langu.
Ohoo noma sana aisee,vp ulimtonya huyo rafiki yako kuhusu tabia za mkewe?Nimewahi kushuhudia mke wa rafiki yangu ambae wamefunga ndoa hata miezi haijapita akipigwa borooo kwenye gali na msera flani hivi ,yaani niliumia sana