Sema wewe umefungiwa usiwasemee wenzakoSi ukaogelee na rafiki zako!!wadada wa humu tumefungiwa mlango na Invisible hua hatutoki mpaka mitoko maalumu
Sikuona pengine pazur zaid pa kuipostUna lako jambo ndio maana hata thread yako ipo MMU...
Me learner km wewe ,njoo TUFUNDISHANE....tuanze lini ?
Asante kwa ushauri mkuu,nikishindwa kupata mwalim nnayemtaka ntaenda.Nenda UD swimmming pool pale kuna walimu wazuri sana wa kuogelea, ila wengi wao ni wanaume.
Kuogelea kwema mkuu
Sema wewe umefungiwa usiwasemee wenzako
Hapana wewe ndo umewaza mbali.Mi nna lengo la kujifunza kuogelea ukweli kabisa,ila najaribu kutafuta mbinu ambayo itakuwa exciting zaidi.Nikimpata mwenye hizo sifa ntakuwa comfortable na nadhan ntakuwa na bidii zaidi kuliko kama nikiwa na mwalimu mwanaume..Mchagua jembe hafai kwa ukulima, wewe una yako na si kutaka kujua kuogelea. Labda utuniambie unataka kujifunza kuogelea bwawa la chumvin...!!
Na swala la kutaja umri na kujifunza kuogelea vinauhusiano gani.
We una lako lingine wewe..
Mh,ss kama ni hvy si bora nigoogle tu naweza pata tutorial youtube kuliko nimlipe tena nianze kuhangaika kusoma michoroNamfaham anayefundisha ila uwe mtundu wa kufuatilia michoro, yeye haingii kwenye maji na mwanafunzi hata siku moja.
Hapana chezea maji kijana ...unaweza kunywa zaidi pipa zima alafu ndio ufe