- Thread starter
- #21
mbona niko stable na najua nini nafanya so let do itmmmm duh bado mdogo sana miaka 20 unataka kuoa mbona unataka kuwapa wazazi wako hakuna ulezi na kujitia stress? soma kwanza wake hawaishi..........
mbona niko stable na najua nini nafanya so let do itmmmm duh bado mdogo sana miaka 20 unataka kuoa mbona unataka kuwapa wazazi wako hakuna ulezi na kujitia stress? soma kwanza wake hawaishi..........
"Dhambi ya ubaguzi haitakuisha kamwe..una miaka mingapi? kabila gani? unaishi kwa baba na mama au kwako? nyumba yako au umepanga? unamtoto wa nje au uliwahi kuoa? unafanya kazi wapi? nijibu hayo machache tafadhali?
hujanielewa alikuwa rafik yang wakawaida nilipomwambia tu kanichuniakwann anakuchunia? wenda huna care na mengine ndo maana au elezea tatizo ni nn?