Mwana Ilala
JF-Expert Member
- Jan 29, 2013
- 1,286
- 488
Nina Plot/Kiwanja chenye Sqmt-647.
Nahitaji Mchoro wa Servant Quarter.
Kijumba chenyewe kitatumika kwa Shughuli za Kiofisi kwani nataka niweke hapo Site ya Tofali na Hardware kabla ya kuja kujenga hapo Nyumba au Frems Baadae.
Specs:
-Verandah
-Sitting Room
-Master Moja
-Jiko & Kajistoo Kadogo sana & (Jiko Liwe na Kibaraza Cha Nyuma)
-Toilet ya Nje kwa Nyuma ya hiki kijumba.
-Stand ya Water tank(Tower ya Nguzo za Zege) yenye Uwezo wa Kubeba Tanks 2 za 5,000ltrs
LOCATION: Site Ipo Kwenye Mradi wa Viwanja/Pembeni/Ndani ya Nyumba za PSPF Ilala-Buyuni(CHANIKA)
NB: Ibakie sehem ya Kuja kujenga Nyumba baadae ntakapositisha Biashara ya Tofali.
GHARAMA: Isizidi 60,000/-
Contact: Send Me PM Please.
Nahitaji Mchoro wa Servant Quarter.
Kijumba chenyewe kitatumika kwa Shughuli za Kiofisi kwani nataka niweke hapo Site ya Tofali na Hardware kabla ya kuja kujenga hapo Nyumba au Frems Baadae.
Specs:
-Verandah
-Sitting Room
-Master Moja
-Jiko & Kajistoo Kadogo sana & (Jiko Liwe na Kibaraza Cha Nyuma)
-Toilet ya Nje kwa Nyuma ya hiki kijumba.
-Stand ya Water tank(Tower ya Nguzo za Zege) yenye Uwezo wa Kubeba Tanks 2 za 5,000ltrs
LOCATION: Site Ipo Kwenye Mradi wa Viwanja/Pembeni/Ndani ya Nyumba za PSPF Ilala-Buyuni(CHANIKA)
NB: Ibakie sehem ya Kuja kujenga Nyumba baadae ntakapositisha Biashara ya Tofali.
GHARAMA: Isizidi 60,000/-
Contact: Send Me PM Please.