Nahitaji Mbegu ya Canola

Joined
Oct 13, 2018
Posts
58
Reaction score
31
Wakuu Mimi ningenda kujua ni wapi nchini wanalima canola , nina mpango wa kufungua kiwanda kidogo cha kutengeneza mafuta ya Canola.

Kama kunaye mwenye mbegu au ni mkulima wa canola naomba tuwasiliane.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…