Nahitaji Mbaazi.

Nahitaji Mbaazi.

jembelamkono

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2015
Posts
2,733
Reaction score
2,017
Habari wakuu,nahitaji kununua mbaazi kutoka Manyara,mwenye nazo tuwasiliane kwa pm au kupitia namba yangu 0783724242
Idadi itategemea na bei tutakayo kubaliana.
Wasalaam.
 
Habari wakuu,nahitaji kununua mbaazi kutoka Manyara,mwenye nazo tuwasiliane kwa pm au kupitia namba yangu 0783724242
Idadi itategemea na bei tutakayo kubaliana.
Wasalaam.
Njoo inbox km una pesa ya kutosha nikuelekeza mkoa unaoweza kupata mbaazi hata tani 3. Kwa siku Namba 0656801229
 
Kwani hamuwezi kuelekezana hapa hapa wakuu?!
Au mpaka mtapeliane ndio mtajifunza?
 
Tumelima baadhi kama kikundi wilayani Bunda. Mtakaohitaji msimu huu tuwasiliane
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom