Nahitaji mawe trip 50 Dar

Miss Natafuta

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2015
Posts
28,028
Reaction score
52,505
Nahitaji mawe trip zaidi ya 50 Dar siku ya leo, kesho na Jumamosi.

Kama unazo njoo inbox.

Kupakia na mawe yenyewe yasizidi laki moja gari ni kubwa mwisho wa mawasiliano saa tano.
 
Mawe aina gani? mable au msolwa, size gani ya mawe? gari yenye cubic size gani? yanapelekwa wapi?
Mimi ninayo mawe
 
Samahani, unamaanisha, kununua, kupakia pamoja na usafiri??, gari la ujazo gani? Na kama ni pamoja na usafiri, yanaenda wapi?? Nataka tufanye kazi
 
Samahani, unamaanisha, kununua, kupakia pamoja na usafiri??, gari la ujazo gani? Na kama ni pamoja na usafiri, yanaenda wapi?? Nataka tufanye kazi
magari yapo . tunaitaji mawe tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…